Aldegunda (Cousolre, Ufaransa 639 hivi - Maubeuge, Ufaransa, 684 hivi), alikuwa mwanamke aliyeanzisha monasteri pacha na kuziongoza kama abesi chini ya kanuni ya Kolumbani.

Sanamu ya Mt. Aldegunda huko Hautmont.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu bikira.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Januari[1].

Maisha hariri

Mtoto wa wazazi wa koo mashuhuri, aliongokea Ukristo akabatizwa alifuatwa na baba yake, ambaye akawa baadaye mtakatifu Walbert. Pia mama yake Bertila na dada yake Vatrude[2][3] ni watakatifu[4].

Baada ya kukataa kuolewa, alitawa[5].

Alivumilia kwa ushujaa maumivu ya saratani ya matiti ambayo ikaja kumuua[6].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Martyrologium Romanum
  2. article in Archéologie (March 2003), n° 398, p. 7
  3. Saint of the Day, January 30: Aldegundis of Maubeuge Archived 25 Februari 2020 at the Wayback Machine. SaintPatrickDC.org. Retrieved 2012-03-06.
  4. Aline Hornaday, "Toward a Prosopography of the "Maubeuge Cycle" Saints", Prosopon Newsletter, 1996 on-line text Archived 17 Januari 2021 at the Wayback Machine..
  5. Thurston, Herbert. "St. Aldegundis." The Catholic Encyclopedia Vol. 1. New York: Robert Appleton Company, 1907. 30 May 2016
  6. "Butler's Lives of the Saints, 1864.". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-08-06. Iliwekwa mnamo 2020-04-25. 

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.