Alois na Maria Azelia Martin

Alois na Maria Azelia Martin walikuwa mume na mke wa Ufaransa katika karne ya 19 BK[1].

Wat. Alois na Maria Azelia.

Ni maarufu kutokana na maandishi ya mwanao wa tisa na wa mwisho, Teresa wa Mtoto Yesu.

Wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama watakatifu. Papa Benedikto XVI aliwatangaza wenye heri tarehe 19 Oktoba 2008, halafu Papa Fransisko watakatifu tarehe 18 Oktoba 2015.

Sikukuu yao inawaadhimisha kwa pamoja tarehe 12 Julai[2].

Tazama pia hariri

Maandishi hariri

Mwaka 2011, barua zao[3] zilichapishwa kwa Kiingereza kwa jina la A Call to a Deeper Love: The Family Correspondence of the Parents of Saint Therese of the Child Jesus, 1863–1885 (ISBN 0818913215).

Tanbihi hariri

  1. https://www.santiebeati.it/dettaglio/91078
  2. Martyrologium Romanum
  3. Although only 16 letters from Louis survive, many of Zélie's 216 letters give vivid details about the family's life and Louis's character as a father.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.