Amad Diallo (alizaliwa 11 Julai 2002) ni mwanasoka mtaalamu wa Ivory Coast ambaye anaeheza kama winga katika klabu ya Manchester na kiungo bora wa timu ya taifa ya Ivory coast. Alijiunga na mfumo wa vijana wa Atalanta mnamo 2015, ambapo alishinda mataji mawili Campionato Primavera 1. Mnamo 2019 alikua mchezaji wa kwanza kufunga Serie A, kwenye mechi yake ya kwanza ya kitaaluma kwa timu ya wakubwa. Mnamo Januari 2021, Diallo alijiunga na klabu ya Uingereza ya Manchester United, kabla ya kutumwa kwa mkopo kwa [Rangers] mwaka mmoja baadaye. Diallo alicheza mechi yake ya kwanza ya kimataifa huko Ivory Coast katika michuano ya kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika ya 2021.

Amad Diallo
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaCote d'Ivoire Hariri
Nchi anayoitumikiaCote d'Ivoire Hariri
Jina katika lugha mamaAmad Diallo Hariri
Jina halisiAmad Hariri
Jina la familiaDiallo Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa11 Julai 2002 Hariri
Mahali alipozaliwaAbidjan Hariri
Lugha ya asiliKifaransa Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKifaransa Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timuforward Hariri
Muda wa kazi2019 Hariri
Mwanachama wa timu ya michezoAtalanta BC, Manchester United F.C., Rangers F.C., Sunderland A.F.C. Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Ameshirikifootball at the 2020 Summer Olympics – men's tournament Hariri

Maisha binafsi hariri

Diallo ni Muislamu.[1] Alipokea pasipoti ya Italia mwishoni mwa Desemba 2020.[2]

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Amad Diallo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.