Amato wa Habend (Grenoble, leo nchini Ufaransa, 565 hivi - 13 Septemba 628 hivi) alikuwa mmonaki padri aliyeanzisha monasteri mbili huko Hamend lakini, kabla na baada ya hapo, aliishi miaka kadhaa kwa toba kali upwekeni[1].

Sanamu ya Mt. Amato ya karne ya 17.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • (Kijerumani) Biographisch-Bibliographisches Kirchenlexikon
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.