Ana Wang (Machiazhuang, 1886 hivi - Machiazhuang, 22 Julai 1900) alikuwa bikira wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Waboksa pamoja na dada yake Lusia Wang Wangzhi na mtoto wa huyo, Andrea Wang Tianqing[1].

Wafiadini Wakatoliki wa China.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 mwaka 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 22 Julai[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.