Apro wa Toul (kwa Kifaransa: Epvre au Evre; alifariki 15 Septemba 507) alikuwa askofu wa mji huo, leo nchini Ufaransa[1].

Sanamu yake huko Contrexeville.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Septemba[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • (Kifaransa) Chanoine André Laurent , Ils sont nos aïeux, les saints de chez nous, Mirecourt, 1980.
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.