Mtakatifu Arnold Janssen (Goch 5 Novemba 1837Steyl 15 Januari 1909) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka nchi ya Ujerumani aliyeanzisha mashirika ya wamisionari wa kiume na wa kike.

Mtakatifu Arnold Janssen

Mwaka 2003 alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Januari[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.