Ausenti abati (Syria[1], karne ya 5 - Mlima Skopa[2], Bitinia, leo nchini Uturuki, 14 Februari 473) alikuwa askari mlinzi wa kaisari Theodosi II aliyekwenda kuishi kama mkaapweke akawa abati aliyetetea imani sahihi ya mtaguso wa Kalsedonia[3].

Mchoro mdogo wa Mt. Ausenti wa Bitinia.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Februari[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Monks of Ramsgate. "Auxentius". Book of Saints, 1921. CatholicSaints.Info. 5 August 2012Kigezo:PD-notice
  2. Paul Guérin (a cura di), Vie des Saints des Petits Bollandistes, Parigi, Bloud et Barral editori, 1876, tomo II, p. 515.
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92724
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.