Bahari ya Sargasso

28°N 66°W / 28°N 66°W / 28; -66

Bahari ya Sargasso.
Mwani wa sargassum unafunika maeneo makubwa ya bahari

Bahari ya Sargasso ni eneo la Bahari Atlantiki lililoko upande wa mashariki wa Florida.

Hakuna pwani za nchi kavu[1] lakini hutajwa kama eneo la pekee kwa sababu linazungukwa na mikondo ya bahari yenye mwendo wa kiduara[2].

Mwendo wa mikondo kwenye mipaka yake husababisha sehemu za uso wa Bahari ya Saragasso kuwa chini ya usawa wa bahari ya jirani na hivyo mwani unaoelea kwenye maji hukusanyika huko. [3] Kwa jumla maji ya sehemu hii ni safi sana bila machafuko inayomaanisha kibiolojia kuna lishe kidogo kwa uhai ndano yake. Lakini kuna mwani wa sargassum unaoelea kwenye uso wa maji na kuwa mazingira yanayoyoruhusu spishi mbalimbali kustwi hapa.

Tanbihi hariri

  1. NGS Staff (27 September 2011). "Sea". nationalgeographic.org. National Geographic Society. Iliwekwa mnamo 27 June 2017. ...a sea is a division of the ocean that is enclosed or partly enclosed by land...  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. Stow, Dorrik A.V. (2004). Encyclopedia of the Oceans. Oxford University Press. uk. 90. ISBN 978-0198606871. Iliwekwa mnamo 27 June 2017.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. NOS Staff (25 March 2014). "What's the Difference between an Ocean and a Sea?". Ocean Facts. Silver Spring MD: National Ocean Service (NOS), National Oceanic and Atmospheric Administration (NOAA). Iliwekwa mnamo 7 January 2017 – kutoka OceanService.NOAA.gov.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)

Viungo vya Nje hariri

 
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno: