Benyamini I wa Aleksandria

Benyamini I wa Aleksandria (Barshut, Misri, 590 - 16 Januari 662) kuanzia mwaka 623 hadi kifo chake alikuwa Patriarki wa Aleksandria (Misri) na Papa wa 38 wa Kanisa la Wakopti ambalo linamheshimu kama mtakatifu.

Ni kati ya mapatriarki wake bora, akiongoza katika kipindi kigumu cha Misri kutekwa na Waajemi, halafu na Wagiriki na hatimaye na Waarabu.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.