Bernardo wa Corleone

Bernardo wa Corleone (Corleone, 6 Februari 1605 - Palermo, 12 Januari 1667) alikuwa bruda wa shirika la Ndugu Wadogo Wakapuchini kutoka Sicilia, leo nchini Italia.

Bernardo wa Corleone

Mwaka 1768 alitangazwa na Papa Klementi XIII kuwa mwenye heri.

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu tangu alipotangazwa na Papa Yohane Paulo II tarehe 10 Juni 2001.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 12 Januari[1].

Maisha hariri

Filippo Latini (alivyoitwa awali) aliingia utawa kisha kupigana na Vito Canino kwa panga mwaka 1626.

Shirikani aliishi katika konventi mbalimbali kama ifuatavyo:

Katika konventi hizo alifanya toba kali na kutekeleza kwa namna ya ajabu amri ya upendo[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.