Betri (kutoka Kiingereza: "battery") ni kifaa kinachotumika kutunza chaji ya umeme kwa muda fulani.

Betri mbalimbali zilizopangwa kwa jozi.
Alama wakilishi ya betri.

Ilibuniwa na Mwitalia Alessandro Volta mnamo 1800.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.