Boeing 747 ni ndege ya kampuni ya Marekani iitwayo Boeing yenye upana mkubwa kwa ajili ya kubebea mizigo au kusafirishia abiria.

Picha ya Boeing 747 katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mjini München mnamo tarehe 15 Februari, 2015.

Pia ndege hii inajulikana kwa jina la "Jumbo jet", Ndege hii ni moja ya ndege ambazo inajulikana sana Duniani na ndo ilikuwa ndege ya kwanza kutengenezwa ikiwa na umbile pana katika ndege zote zilizo tengenezwa na kampuni hii. Hii ni ndege yenye injini nne.

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.