Bwawa la Nyumba ya Mungu

Bwawa la Nyumba ya Mungu limepatikana kwa lambo lililojengwa miaka ya 1960 katika wilaya ya Mwanga, mkoa wa Kilimanjaro (Tanzania) ili maji ya mto Kikuletwa na ya mto Ruvu yaweze kutumika kuzalisha umeme (8 MW).

Bwawa lilivyo.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri