Chékéba Hachemi (kidari: شکیبا هاشمی), (kuzaliwa 20 Mei 1974) ni mwandishi na mwanaharakati wa Afghanistan. Alikuwa mwanamke wa kwanza wa Afghanistan kutajwa kuwa mwanadiplomasia, mwaka wa 2001. Yeye ni Rais na mwanzilishi wa taasisi isiyo ya kiserikali (AZAKI) ya Afghanistan Libre.[1]

Chékéba Hachemi
Chékéba Hachemi
Chékéba Hachemi
Alizaliwa 20 Mei 1974
Nchi Afghanistan
Kazi yake mwandishi na mwanaharakati wa Afghanistan

Maisha ya awali na elimu hariri

Chékéba Hachemi alizaliwa mjini Kabul mwaka 1974. Aliikimbia nchi yake wakati wa uvamizi wa Kisovieti mwaka 1986 na kuwasili Ufaransa akiwa na umri wa miaka 11. Alimaliza masomo yake katika shule ya biashara ya École supérieure de commerce mjini Paris.

Marejeo. hariri

  1. Donate to Afghanistan Libre (en-US). www.globalgiving.org. Iliwekwa mnamo 2022-03-23.
  Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chékéba Hachemi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.