Chester Alan Arthur (5 Oktoba 182918 Novemba 1886) alikuwa Rais wa 21 wa Marekani kuanzia mwaka wa 1881 hadi 1885. Alianza kama Kaimu Rais wa James Garfield na kumfuata alipofariki.

Chester A. Arthur


Muda wa Utawala
Septemba 19, 1881 – Machi 4, 1885
mtangulizi James A. Garfield
aliyemfuata Grover Cleveland

tarehe ya kuzaliwa (1829-10-05)Oktoba 5, 1829
Fairfield, Vermont, Marekani
tarehe ya kufa 18 Novemba 1886 (umri 57)
Manhattan, New York, Marekani
mahali pa kuzikiwa Albany Rural Cemetery
Menands, New York, Marekani
chama Republican (1854–1886)
ndoa Ellen Lewis Herndon Arthur (m. 1859–1880) «start: (1859-10-25)–end+1: (1880-01-13)»"Marriage: Ellen Lewis Herndon Arthur to Chester Arthur" Location: (linkback://sw.wikipedia.org/wiki/Chester_Arthur)
watoto 3
mhitimu wa
  • Union College
  • State and National Law School
Fani yake
  • Wakili
  • Mtumishi wa umma
signature

Tazamia pia hariri

}}

  Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chester Arthur kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.