Clemence Beatus Lyamba
Clemence Beatus Lyamba (amezaliwa tar. 16 Februari 1946) ni mbunge wa jimbo la Mikumi katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ "Mengi kuhusu Clemence Beatus Lyamba". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-19. Iliwekwa mnamo 2011-11-03. Unknown parameter
|=
ignored (help)
Viungo vya nnje hariri
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |