DC Comics (iliyoanzishwa mwaka wa 1934 kama National Allied Publications) ni kampuni ya Marekani inayochapisha vitabu vya vibonzo na Burudani; yenyewe inamilikiwa na Time Warner.

Hii ndio nembo ya Dc comics.

Mpinzani wake mkubwa ni Marvel Comics. DC Comics ni mojawapo ya kampuni kubwa nchini Marekani, ambayo inajulikana vizuri kwa kufanya "vitabu vya maandishi ya" superhero ". DC Comics ni maarufu sana katika michoro ya kisasa ya sanaa ya Graphics.

Wahusika hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu DC Comics kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.