Dagobert II (650 hivi - 23 Desemba 679) alikuwa mfalme wa Austrasia (676–679).

Chapa ya Dagobert II.

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Desemba, siku alipouawa.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

Marejeo mengine hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  • Wallace-Hadrill, J.M. 1962. The Long-Haired Kings, and Other Studies in Frankish History, (London: Methuen & Co.)
  • Ian Wood, The Merovingian Kingdoms 450-751(Longman, 1993)
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.