Danieli wa Mnarani
Danieli wa Mnarani (Maratha, leo nchini Uturuki, 409 hivi - Adrianopoli, 493) alikuwa mmonaki ambaye alipata umaarufu kwa kuishi miaka 33 juu ya mnara karibu na Konstantinopoli[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Desemba[2].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Marejeo hariri
- Dawes, Elizabeth & Baynes, Norman H. (1948), Three Byzantine Saints: Contemporary Biographies of St. Daniel the Stylite, St. Theodore of Sykeon and St. John the Almsgiver. London: B. Blackwell. Online version Archived 14 Novemba 2014 at the Wayback Machine. from Internet Medieval Sourcebook.
Viungo vya nje hariri
- St Daniel the Stylite Orthodox Icon and Synaxarion (December 11)
- Orthodox Church in America - Lives of the Saints
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |