Dimfna (pia: Dymphna, Dympna, Dimpna, Dymphnart, Damnat; Geel, Ubelgiji, karne ya 7) alikuwa msichana Mkristo wa Ireland ambaye baba yake mpagani, mfalme Damon wa Oriel, alimkata kichwa kwa sababu alikataa kuolewa naye baada ya kifo cha mama yake[1].

Kukatwa kichwa kwa Mt. Dymphna, mchoro wa Godfried Maes.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki[2] na Waorthodoksi[3] kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Mei[4] au 15 Mei.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. https://www.santiebeati.it/dettaglio/53225
  2. "St. Dymphna". Iliwekwa mnamo 13 September 2017.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. "SAINT DYMPHNA WONDERWORKER OF GHEEL". Saints Mary & Martha Orthodox Monastery. Iliwekwa mnamo 13 September 2017.  Check date values in: |accessdate= (help)
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.