Dokoa

ukarasa wa maana wa Wikimedia

Katika utarakilishi, dokoa (kwa Kiingereza: nudge) ni kipengele cha programu ya ujumbe papo kinachotumika ili kupata uangalifu wa mtumiaji mwingine. Dokoa inaweza kuwa mlio mmoja au tetemeko la dirisha.

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).