Dola la Kitara

Ufalme wa Kiafrika unaotajwa mara kwa mara katika mila simulizi za eneo la Maziwa Makuu

Dola la Kitara (maana: Dola la Mwanga; jina lingine: Bunyoro-Kitara) ni dola lililostawi Afrika ya Mashariki hasa katika karne ya 13 hadi karne ya 16.

Afrika ya Mashariki leo.

Dola la Kitara lilianza kama ufalme mdogo wa Bakitara katika karne ya 13.

Katika karne ya 16 dola la Kitara lilienea sehemu za Tanzania, Uganda, Kongo, Burundi, Rwanda, Zambia na Malawi, halafu lilisambaratika.

Marejeo hariri

  • Jean-Pierre Chrétien, «  », Annales, Économies, Sociétés, Civilisations, vol. 40, no 6,‎ 1985, p. 1335-1377 (lire en ligne [archive])
  • (en) M. S. M. Kiwanuka, «  », Canadian Journal of African Studies / Revue canadienne des études africaines, vol. 2, no 1,‎ 1968, p. 27-48 (lire en ligne [archive])
  • Gérard Prunier, , Paris, Karthala, 1994 (lire en ligne [archive])
  • Claudine Vidal, «  », Cahiers d'études africaines, vol. 25, no 100,‎ 1985, p. 573-585 (lire en ligne [archive])
  Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Dola la Kitara kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.