Emirates (uwanja wa mpira)

Emirates ni uwanja wa nyumbani wa timu ya Uingereza Arsenal FC. Uwanja huu unapatikana huko Holloway London nchini Uingereza.

Uwanja wa Emirates

uwanja huu una uwezo wa kuchukua watazamaji 60,000, ni uwanja wa tatu kwa ukubwa nchini Uingereza baada ya Uwanja wa Wembley na Old Trafford.

Mnamo mwaka 1997, Arsenal ilielezea uwezekano wa kuhamia kwenye uwanja mpya, baada ya kukataliwa ruhusa ya kupanga na Baraza la Islington ili kupanua ardhi yake ya Highbury.

Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Emirates (uwanja wa mpira) kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.