Epikur (kwa Kilatini na lugha mbalimbali Epicurus, kutoka Kigiriki Ἐπίκουρος, Epíkouros, yaani "Mwenzi"; 341270 KK) alikuwa mwanafalsafa wa Ugiriki wa Kale, maarufu kama mwanzilishi wa shule ya falsafa yenye jina lake (kwa Kiingereza: Epicureanism).

Sanamu ya Kirumi ya Epicurus.

Maandishi hariri

Kati ya maandishi yake 300 hivi, zimebaki tu sehemu na barua chache; zaidi tunajua kutoka kwa wafuasi wake na wengineo waliofafanua mafundisho yake.

Mafundisho hariri

Kwake, lengo la falsafa ni kufikia maisha yenye heri, utulivu, amani, kutoogopa, kutoteseka, kujitegemea na kuzungukwa na marafiki. Kwake raha na maumivu ndio vigezo vya uadilifu au uovu wa mambo yoyote. Pia kifo ni mwisho wa mwili na roho, hivyo hakitakiwi kuogopwa. Tena hakuna miungu ambao waadhibu wala kutuza binadamu. Ulimwengu hauna mipaka na ni wa milele.

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

Maandishi yake
Ufafanuzi

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Sura
Vyanzo
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Epikur kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.