Felisi wa Como (alifariki tarehe 8 Oktoba 391 BK) anakumbukwa kama askofu wa kwanza wa Como (Italia Kaskazini).

Rafiki wa Ambrosi wa Milano, alisifiwa naye kwa umisionari wake akapewa naye upadrisho mwaka 379[1]na daraja ya uaskofu kwa ajili ya Como tarehe 1 Novemba 386[2] katika juhudi za kukamilisha uenezi wa Ukristo kote Italia baada ya Kaisari Theodosi I kuufanya dini rasmi ya Dola la Roma.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3] au tarehe 1 Julai.[4]

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. New Advent Catholic Encyclopedia.
  2. San Bassiano
  3. Martyrologium Romanum
  4. http://www.catholic.org/saints/f_day/jul.php

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.