Fortunati wa Montefalco

Fortunati wa Montefalco alikuwa padri wa Kanisa Katoliki aliyeishi kati ya karne ya 4 na ya 5 katika Italia ya Kati, akifanya uchungaji kama paroko pamoja na kufanya kazi kwa bidii ili kujitegemea na kusaidia fukara wenzake, akitoa hivyo maisha yake kuhudumia wengine[1].

Mchoro wa ukutani ukimuonyesha Mt. Fortunati.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Juni[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.