Franz (Peter) Schubert (alizaliwa mjini Vienna, 31 Januari 1797 na kufariki Vienna 19 Novemba 1828) alikuwa mtunzi wa Opera wa Kiaustria. Ingawa alifariki dunia akiwa na umri wa maiaka 31 lakini alitunga zaidi ya nyimbo elfu moja.

Franz Schubert

Na inaamika kwamba kazi zake ni miongoni mwa kazi bora ziliwahi kutungwa. Alitunga ala nzuri zenye kupendeza. Kulikuwa na watunzi wengi wakubwa waliowahi kuishi mjini Vienna: Haydn, Mozart na Beethoven, lakini Schubert ni yeye peke yake aliyezaliwa mjini Vienna. Schubert alikuwa ndiyo mtunzi mkubwa wa mwisho wa muziki wa klasiki na Romantic music.

Viungo vya nje hariri

Rekord zake na baadhi ya MIDI faili hariri

Nakala za muziki wake hariri


 
WikiMedia Commons


Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber