Friesland ni jina la mkoa ya Uholanzi. Mji mkuu wake ni Leeuwarden. Pier Gerlofs Donia huyu alipigania uhuru wa Friesland. Mkoa huu ni sehemu muhimu ya Frisia ya kihistoria.

Sehemu ya mkoa wa Friesland
Mahali pa Friesland katika Uholanzi

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Mikoa ya Uholanzi  
Drenthe | Flevoland | Friesland | Gelderland | Groningen | Limburg | Noord-Brabant | Noord-Holland | Overijssel | Utrecht | Zeeland | Zuid-Holland
+/-
  Makala hii kuhusu maeneo ya Uholanzi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Friesland kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.