Gereoni na wenzake
Gereoni na wenzake Kasius, Gregori Maurus, Florenti, Inosenti, Konstantino, Viktori na wengineo (walifariki Cologne, Ujerumani, 304) ni Wakristo waliofia dini yao kwa kukatwa kichwa.
Inasimuliwa kwamba Gereoni alikuwa askari[1] wa Kikosi cha Thebe kutoka Misri.
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama watakatifu wafiadini.
Picha hariri
-
Mt. Gereoni na wenzake
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ "St. Gereon", Köln Tourismus. Jalada kutoka ya awali juu ya 2017-07-02. Iliwekwa mnamo 2020-02-21.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Patron Saints: Gereon
- Saint of the Day, October 10: Gereon and Companions Archived 4 Agosti 2019 at the Wayback Machine. at SaintPatrickDC.org
- [1]
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |