Katika utarakilishi, gigabaiti (kwa Kiingereza: gigabyte; kifupi: "GB") ni kipimo cha taarifa ya tarakimu.

Diski kuu ya gigabaiti 500.

Kiambishi awali "giga" kinamaanisha 109 katika Vipimo sanifu vya kimataifa. Kwa hiyo, gigabaiti moja ni baiti bilioni moja.

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.