Grafati (kwa Kiingereza: graphite) ni umbo la pekee la elementi kaboni linalopatikana kwa fuwele za pembesita.

Kipande cha grafati
Kichwa cha penseli za grafati

Grafati ni umbo linalotokea kiasili ikiwa ni umbo thabiti zaidi la kaboni katika hali sanifu. Ikiathiriwa na joto kali na shinikizo kubwa inageuka kuwa almasi.

Inatokea kiasili katika fomu hii na ni aina ngumu zaidi ya kaboni chini ya hali ya kawaida. Chini ya shinikizo kubwa na joto hubadilika kuwa almasi .

Matumizi ya grafati yapo katika penseli na ulainishaji. Grafati ni kipitishi kizuri cha joto na umeme. Uwezo huu unaipa nafasi muhimu katika teknolojia ya elektroniki kama vile elektrodi, beteri na paneli za sola.

Grafati hutokea ndani ya miamba metamofia ambako inachimbwa ama katika mashimo ya wazi au chini ya ardhi. Akiba kubwa za grafati zilitambuliwa katika Wilaya ya Ruangwa (Mkoa wa Lindi) na kampuni ya Uranex iliyo mali ya Magnis Energy Technologies ya Australia imepata laiseni ya kuchimba grafati kwenye eneo la kilomita za mraba 30[1].

Kusoma zaidi hariri

  • C.Michael Hogan; Marc Papineau; et al. (December 18, 1989). Phase I Environmental Site Assessment, Asbury Graphite Mill, 2426–2500 Kirkham Street, Oakland, California, Earth Metrics report 10292.001 (Report).
  • Klein, Cornelis; Cornelius S. Hurlbut, Jr. (1985). Manual of Mineralogy: after Dana (toleo la 20th). ISBN 978-0-471-80580-9.  Unknown parameter |url-access= ignored (help)
  • Taylor, Harold A. (2000). Graphite. Financial Times Executive Commodity Reports. London: Mining Journal Books ltd. ISBN 978-1-84083-332-4. 
  • Taylor, Harold A. (2005). Graphite. Industrial Minerals and Rocks (toleo la 7th). Littleton, CO: AIME-Society of Mining Engineers. ISBN 978-0-87335-233-8. 

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Grafati kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.