Gregori wa Langres

Gregori wa Langres (446 hivi – 539) alikuwa mtawala wa Autun, huko Ufaransa.

Baada ya kufiwa mke wake, akawa askofu wa Langres tangu mwaka 506 hadi kifo chake.

Gregori wa Tours alikuwa kitukuu wake.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni 4 Januari[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.