Hans Christian Andersen

Hans Christian Andersen (Odense 2 Aprili 1805 - Copenhagen 4 Agosti 1875) alikuwa mwandishi nchini Denmark. Hususani anafahamika zaidi kwa ngano zake.

Hans Christian Andersen, Oktoba 1867
Makala hii kuhusu mwandishi fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hans Christian Andersen kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.