Harry Bolus ( 28 Aprili 183425 Mei 1911 )[1] alikuwa mwanabotania, mwanasayansi wa mimea, mfanyabiashara na mwanahisani. Aliendeleza botania nchini Afrika Kusini kwa kuanzisha bursari na Bolus Herbarium na kuacha urithi wa maktaba yake na sehemu kubwa ya utajiri wake katika Chuo cha Afrika Kusini (sasa Chuo Kikuu cha Cape Town ).

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Harry Bolus kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.