Historia ya Kodivaa

(Elekezwa kutoka Historia ya Cote d'Ivoire)

Historia ya Kodivaa inahusu eneo la Afrika ya Magharibi ambalo wakazi wake leo wanaunda Jamhuri ya Kodivaa.

Baada ya uhuru (7 Agosti 1960), iliwahi kuwa kati ya nchi tajiri zaidi za Afrika, lakini tangu mwaka 2002 uchumi na hali ya maisha kwa jumla vimeharibika kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe (2002-2011).

Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Historia ya Kodivaa kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.