Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Inkadinasio (kwa Kiingereza "incardination", kutoka Kilatini incardinatio) ni msamiati wa sheria za Kanisa unaoeleza sharti la kwamba kila mkleri awe daima chini ya askofu au padri fulani, na kwa njia yake awe ndani ya jimbo au shirika fulani[1].

Kinyume chake kwa Kiingereza ni excardination, ambapo mkleri anaruhusiwa kuacha incardinasio yake ili kupata nyingine.

Maneno yote mawili yanategemea neno cardo ("bawaba"), ambalo pia ni shina la neno kardinali.

Sheria husika zinapatikana katika kanuni 265-272 za Mkusanyo wa Sheria za Kanisa (kwa Kanisa la Kilatini). Nyingine zinazofanana nazo zinapatikana katika kanuni 357-366 za Mkusanyo wa Kanuni za Makanisa ya Mashariki (kwa Makanisa Katoliki ya Mashariki).

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Inkadinasio kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.