Ivan Strinić (alizaliwa 17 Julai 1987) ni mchezaji wa soka wa Kroatia ambaye anacheza kama beki wa kushoto wa klabu ya Milan na timu ya taifa ya soka ya Kroatia.

Ivan Strinić

Sampdoria hariri

Mnamo tarehe 31 Agosti 2017, Strinić alijiunga na Sampdoria kwa ada ya taarifa ya 2,000,000.

A.C Milan hariri

Mnamo 2 Julai 2018, Strinić alijiunga na A.C. Milan kwa uhamisho wa bure na mkataba wa miaka mitatu (3).

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ivan Strinić kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.