Ivo Helory, T.O.S.F. (pia: Yvo, Yves, Ives, Erwan, Iwan, Youenn au Eozenn; Kermartin, karibu na Tréguier, Brittany, Ufaransa Kaskazini-Magharibi, 17 Oktoba 1253 - Louennac, karibu na Tréguier, 19 Mei 1303) alikuwa msomi aliyepata kuwa padri mwadilifu ambaye kwa upendo wa Kristo alijitahidi sana kusaidia maskini, akiwapokea nyumbani mwake, pamoja na kutetea wanyonge na kuleta haki na amani kati ya watu[1].

Mt. Ivo.

Alikuwa mwanachama wa Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko.

Alitangazwa mtakatifu na Papa Klementi VI mnamo Juni 1347.

Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 19 Mei[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. https://www.santiebeati.it/dettaglio/53950
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Vyanzo hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.