Justiniani II
Kaisari Justiniani II (668/669 - 4 Novemba 711) alitawala Dola la Roma Mashariki kuanzia mwaka 685 hadi 695, tena kutoka 705 hadi 711, alipouawa kwa kiburi na ukatili wake.
Alijitahidi kurudisha Dola la Roma katika hadhi yake ya zamani.
Katika historia ya Kanisa anakumbukwa kwa kuendesha mtaguso wa tano-sita katika ikulu yake.
Tangu kale Waorthodoksi wanamheshimu kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Marejeo hariri
- Ostrogorsky, George (1956). History of the Byzantine State. Oxford: Basil Blackwell.
Vyanzo hariri
Vyanzo vikuu hariri
- Theophanes the Confessor, Chronographia.
Vinginevyo hariri
- Kazhdan, Alexander, ed. (1991), Oxford Dictionary of Byzantium, Oxford University Press, ISBN 978-0-19-504652-6
- Norwich, John Julius (1990), Byzantium: The Early Centuries, Penguin, ISBN 0-14-011447-5
- Ostrogorsky, George (1956). History of the Byzantine State. Oxford: Basil Blackwell.
- Moore, R. Scott (1998) "Justinian II (685–695 & 705–711 A.D.)". De Imperatoribus Romanis.
- Bury, J.B. (1889). A History of the Later Roman Empire from Arcadius to Irene, Vol. II, MacMillan & Co.
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu: