Lucius Domitius Aurelianus (9 Septemba 214 – Septemba 275) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma kuanzia 9 Septemba, 270 hadi kifo chake. Alimfuata Quintillus.

Kaizari Aurelian

Tazama pia hariri

  Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Roma bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kaizari Aurelian kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.