Karuri ni mji wa Kenya, katika kaunti ya Kiambu. Ni kata ya Eneo bunge la Kiambaa[1].

Wakazi walikuwa 129,934 wakati wa sensa ya mwaka 2009[2].

Tanbihi hariri

  1. Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency Archived Septemba 29, 2007, at the Wayback Machine
  2. Sensa ya Kenya 2009 Archived 9 Januari 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.