Katakombu (kutoka neno la Kilatini catacombae) ni mahandaki yaliyotengenezwa chini ya ardhi kwa mazishi na kwa malengo ya kidini. Kwa namna ya pekee yanafikiriwa yale ya Dola la Roma.[1]

Maandamano ndani ya katakombu la Mt. Kalisti mjini Roma.
Makaburi ndani ya Katakombu la Domitila, Roma.
Katakombu la Paris.
Yesu na Mitume katika katakombu la Domitila, Roma.
Alama Chi-Rho pamoja na Alfa na Omega, Katakombu la Domitila, Roma.

Makatakombu yote ya Roma yalipatikana nje ya ngome ya mji, kwa sababu haikuruhusiwa kuzika ndani yake,[2] yakiwapa Wakristo waliodhulumiwa na serikali mahali pa kufaa kwa kuheshimu wafiadini wao. Walikuwa wakikutana kusali katika nyumba za watu binafsi, au kwenye katakombu.

Katika mahandaki hayo inapatikana michoro ya ukutani ambayo ni kati ya kazi za kwanza za sanaa ya Kikristo.

Tanbihi hariri

  1. Other examples include a Neolithic long barrow, an Ancient Egyptian necropolis, or modern underground vaults such as the Catacombs of Paris. The word referred originally only to the Roman catacombs, but was extended by 1836 to refer to any subterranean receptacle of the dead. "Catacombs", Online Etymology Dictionary, accessed 10 July 2010.
  2. Hurst, John Fletcher (1897). History of the Christian Church 1. Eaton and Mains. 

Marejeo hariri

  • Blyton, Enid "Five go to Smuggler's Top" Hodder and Stroughton (1945) ISBN 978-1-84456-678-5
  • Éamonn Ó Carragáin, Carol L. Neuman de Vegvar Roma felix: formation and reflections of medieval Rome Ashgate (14 March 2008) ISBN 978-0-7546-6096-5 p. 33 [1]
  • Nicholson, Paul Thomas (2005) "The sacred animal necropolis at North Saqqara: the cults and their catacombs" In Salima Ikram (ed) Divine creatures: animal mummies in Ancient Egypt. American University in Cairo Press, 2005 pp. 44–71. ISBN 978-977-424-858-0

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu: