Kenge
Mburukenge (Varanus niloticus)
Mburukenge (Varanus niloticus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Reptilia (Wanyama wenye damu baridi na magamba ngozini)
Oda: Squamata
Oppel, 1811
Nusuoda: Anguimorpha
Familia ya juu: Varanoidea
Münster, 1834
Ngazi za chini

Familia 4:

Kenge au uru ni wanyama wafananao na mamba wadogo katika familia ya juu Varanoidea. Wana mwili mwembamba, miguu mirefu na mkia mrefu.

Mwainisho hariri

Spishi za Afrika hariri

Nusujenasi Polydaedalus

Nusujenasi Psammosaurus

Picha hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kenge kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.