Kepa Arrizabalaga

Mchezaji wa soka wa Hispania

Kepa Arrizabalaga (wakati mwingine anajulikana kama Kepa tu; alizaliwa 3 Oktoba 1994) ni mchezaji wa soka wa Hispania ambaye anacheza kama kipa wa klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza iitwayo Chelsea Football Club na timu ya taifa ya Hispania.

Kepa Arrizabalaga

Alicheza katika klabu ya Athletic Bilbao, alicheza michezo yake ya kwanza kwa mkopo katika klabu ya Ponferradina na Real Valladolid, katika Segunda División.

Kisha akarudi kwenye klabu yake ya kwanza, akiendelea kuonekana katika mechi 54 katika mashindano yote; mwaka 2018, alijiunga na klabu ya Chelsea.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kepa Arrizabalaga kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.