Khamis Suedi Kagasheki
Khamis Suedi Kagasheki (amezaliwa 30 Agosti, 1951) ni mbunge wa jimbo la Bukoba Mjini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ Mengi kuhusu Khamis Suedi Kagasheki (13 Julai 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-19. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Viungo vya nnje hariri
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |