Kibaha ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Pwani yenye postikodi namba 61100. Tangu kuwa na halmashauri yake ni Wilaya ya Kibaha Mjini, tofauti na Wilaya ya Kibaha Vijijini.[1]

Kibaha
Kibaha is located in Tanzania
Kibaha
Kibaha

Mahali pa mji wa Kibaha katika Tanzania

Majiranukta: 6°46′12″S 38°55′12″E / 6.77000°S 38.92000°E / -6.77000; 38.92000
Nchi Tanzania
Mkoa Pwani
Wilaya Kibaha
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 265,360
Mandhari ya Mji wa Kibaha

Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, eneo la Mji wa Kibaha lilikuwa na wakazi wapatao 128,488 [2] walioishi humo. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 265,360 [3].

Wilaya ya Kibaha Mjini ina eneo la kilomita za mraba lililogawiwa kwa kata 11.

Historia hariri

Asili ya wakazi wa Kibaha ni kabila la Wazaramo. Kijiji na baadaye mji ulikua kutokana na mahali pake kwenye barabara kuu kati ya Dar es Salaam na Morogoro ukateuliwa kuwa makao makuu ya mkoa.

Marejeo hariri

  1. Tanzania: Regions and Cities - Population Statistics, Maps, Charts, Weather and Web Information. www.citypopulation.de. Iliwekwa mnamo 2023-05-14.
  2. Sensa ya 2012, Pwani - Kibaha TC. Jalada kutoka ya awali juu ya 2004-01-02. Iliwekwa mnamo 2016-05-22.
  3. https://www.nbs.go.tz
  Kata za Wilaya ya Kibaha Mjini - Mkoa wa Pwani - Tanzania  

Kibaha | Kongowe | Mailimoja | Mbwawa | Misugusugu | Mkuza | Msangani | Pangani | Picha ya Ndege | Sofu | Tangini | Tumbi | Visiga | Viziwaziwa

  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Pwani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kibaha (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.