Kidole cha mwisho ni kidole cha tano kwenye mkono wa binadamu. Kiko kando ya kidole cha kati cha kando.

Kidole cha mwisho
Majina ya vidole vya mkono:
1 Kidole gumba, 2 Kidole cha shahada,
3 Kidole kirefu, 4 Kidole cha pete, 5 Kidole cha mwisho

Kwa kawaida ni kidole kidogo mkonononi hivyo kwa lugha nyingi huitwa kwa jina "kidole kidogo".


Sehemu za Mkono wa binadamu

Bega * Mkono wa juu * Kisugudi * Kigasha * Kiganja * Kidole gumba * Kidole cha shahada * Kidole cha kati * Kidole cha pete * Kidole cha mwisho