Kikanuri-Manga
Kikanuri-Manga ni lugha ya Kinilo-Sahara nchini Niger na Nigeria inayozungumzwa na Wakanuri. Mwaka wa 1998 idadi ya wasemaji wa Kikanuri-Manga nchini Niger imehesabiwa kuwa watu 280,000. Pia kuna wasemaji 200,000 nchini Nigeria. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kikanuri-Manga iko katika kundi la Kisahara ya Mashariki.
Viungo vya nje hariri
- lugha ya Kimanga kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kimanga Archived 23 Septemba 2015 at the Wayback Machine.
- lugha ya Kimanga katika Glottolog
- http://www.ethnologue.com/language/kby
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kikanuri-Manga kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |