Kikosi Kazi cha Argos

Kikosi Kazi cha Argos (Task Force Argos) ni tawi la Polisi ya Queensland, Australia, linalohusika na uchunguzi wa unyonyaji na unyanyasaji wa watoto mtandaoni.[1]

Ilianzishwa mnamo 1997, hati ya asili ya kitengo hicho ilikuwa kuchunguza madai ya udhalilishaji wa watoto wa taasisi yaliyotokana na Uchunguzi wa Forde.

Tanbihi hariri

  1. NZer charged with using web to procure child, tovuti ya nzherald.co.nz ya tar. 21.01.2008; iliangaliwa Juni 2021

Viungo vya nje hariri